SlideShare une entreprise Scribd logo
1  sur  36
Training of Trainers
        (TOT)
    ISLAMIC HELP
      TANZANIA
MUONGOZO CHINI YA
Mkusanyaji na Mwandishi: SELEMAN ABDALLAH;
    ISLAMIC HELP TANZANIA- 2012-03-06
     Email: tanzania@islamichelp.org.uk, /
             kakasule2@gmail.com
   Phone: +255689131400 or 0754 371115
•   UTANGULIZI
•   DHANA YA UWEZESHAJI KIUCHUMI
•   DHANA YA UJASIRIA MALI
•   Dhana ya ujumla ya ujasiriamali:
•   Sehemu ya Pili: Mjasiriamali
•   HAJA YA UJASIRIAMALI: Kwanini tunahitaji
    kuusoma Ujasiriamali?
•   UMUHIMU WA UJASIRIAMALI.
•   Dhana ya biashara
•   UISLAMU NA BIASHARA
•   FAIDA ZA BIASHARA.
•   ADABU ZA BIASHARA KIISLAMU
• USIMAMIZI NA UENDESHAJI WA BIASHARA

•   MPANGO WA BIASHARA NA MRADI
•   ANDIKO LA MRADI (Project Proposal)
•   MPANGILIO WA BIASHARA (Business Plan)
•   MPANGO WA MASOKO (Market Plan)
•   UTUNZAJI KUMBUKUMBU KATIKA BIASHARA

•   UMUHIMU WA KUTUNZA KUMBUKUMBU
•   UMAKINI KATIKA GHARAMA ZA BIASHARA
•   CHANGAMOTO ZA BIASHARA.
•   MBINU ZA BIASHARA
•   BIASAHARA NA FAMILIA:
UTANGULIZI
• Uchumi ni sekta ambayo huchochea kwa
  namna moja au nyingine maendeleo ya
  mwanaadamu
• Biashara ni moja ya sehemu kuu ya
  uchumi na maiongiliano makuu ya uchumi
  hupatikana kwa kupitia biashara,miradi na
  kwa ujumla Ujasiriamali.

• Kufanya ujasiriamali ni moja katika njia za
  kujipatia kipato na jitihada ilizungumzwa
  na dini
• Kujipatia riziki ya halali ni jambo
  linalomfurahisha sana Mola na hili
  limedhihirishwa katika hadithi na
  mafundisho ya mtume (saw), hadithi
  iliyopokelewa na At-twabaraniy: -
• inayosema “Kutafuta chumo la halali ni
  Wajibu kwa kila muislamu”
• Kwa kuzingatia haya pamoja na uhitaji wa
  dhana hii kuna changamoto juu ya
  ufahamu na ujuzi maalumu juu ya
  Biashara, miradi na ujasiriamali katika
  ujumla wake.
• Ujasiriamali ni ujuzi kama zilivyo tasnia
  nyingine, lazima usomwe na kufunzwa kila
  anayetaka ufanisi wake na matunda yake.
• Dhana inayojengeka miongoni mwa jamii
  kuwa ujasiriamali ni swala la kipaji cha
  kuzaliwa nacho, kurithi au kujulikana pasi na
  elimu ni dhana potofu inayowakwamisha
  wale wanaotaka kuchukua hatua kuufanyia
  kazi ujasiriamali.

• Mjasirimali mmoja anasema maneno yafuatayo:
“Mengi katika usikiayo kuhusu ujasiriamali sio
  sahihi. Si uchawi; si mazingaombwe; na hauna
  lihusianalo na maumbile, ni nidhamu na, kama
  nidhamu nyingine, Inawezekana kwa kusomwa.”
  Peter F. Drucker
DHANA YA UWEZESHAJI
         KIUCHUMI
• Katika maisha yeyote ya wanaadamu uchumi ni
  sehemu kubwa ya maisha yao kwa kuwapatia njia
  na fursa za maisha.
• Dhana hii ni mahimu kufanyiwa jitihada na njia za
  kuikwamua ili kuleta tija na muonekano wa ubora
  katika ngazi ya jamii.

• Kujikwamua kiuchumi ni hatua ya kufanya jitihada
  na michakato mbalimbali ili kuboresha mapato na
  kuinua ufanisi wa matokeo yanayotazamiwa
  kutokana na uchumi.
• Sehemu kubwa ya ufanisi katika
  mchakato wa kujikwamua na kujikomboa
  kichumi unapatika kwa jamii kujihusisha
  na mpango wa Ujasiriamali.

• Ujasiriamali husaidia kipato cha
  mwanajamii na kutoa mchango mkubwa
  katika sehemu au mahali anapopatikana.
DHANA YA UJASIRIAMALI
Sehemu ya Kwanza:
       Maana ya Ujasiriamali:

Ujasiriamali:
• Ni utekelezaji au utendaji ambao mtu
  anapanga, anafanya, anasimamia na
  kuendesha na kukisia mashaka au hatari
  kwa kuthubutu kufanya jambo la kiuchumi
  au kijamii ua biashara.
Maana ya Ujasiriamali
• Neno ujasiriamali linatokana na maneno
  mawili ambayo ni UJASIRI na MALI. Hivyo
  maana ya ujasiriamali ni kuwa na: -
• Ujasiri au mshawasha wa kutafuta na kupata
  mali;
• Uwezo wa kutambua fursa za biashara
  haraka na uthubutu wa kuzitekeleza fursa
  hizo pindi zinapojitokeza; na
• Uwezo wa kuthubutu kushinda vikwazo
  vinavyoweza kuzuia utekelezaji wa fursa za
  biashara.
• Ujasiriamali: ni utashi juu ya kufanya kitu;
  ni njia ya kufikiria, kufikia na kufanya
  jambo au kitu fulani.
• Ujasiriamali ni mchakato ambapo mtu
  anachukua hatua kutumia fursa bila kujali
  hali ya rasilimali alizonazo
“Ni mchakato ambapo mtu anafanisi, kusimamia,
kuandaa na kuratibu ubunifu, uboreshaji na uvumbuzi,
kujenga thamani na uthamini unaompa faida au kutoa
manufaa na kuzingatia na kujenga ukuaji na upekee wa
         tahmani kwa jamii inayomzunguka”

                     MCHAKATO
  Upekee                               Mjasiriamali




                                               UBUNIFU
  Kukua


      Kujenga                           Kuunda kundi/
       Faida                                Taasisi
                       Kujenga
                       Thamani
Sehemu ya Pili: Mjasiriamali
• Mtu ambaye “anathubutu kufanya,” Jambo,
  vitendo au mradi wenye manufaa”.

• “Aliyechochewa au mwenye vichocheo vya
  kuendelea kiuchumi kwa kutafuta na kubuni
  njia mpya za kujikwamua na kufanya
  mambo”.

• “Mjasiriamali kwa tafsiri ya Drucker, ni
  ahamishae rasilimali kutoka eneo lenye
  uzalishaji mdogo na kupeleka katika eneo
  lenye uzalishaji mkubwa na mavuno (mengi).
HAJA YA UJASIRIAMALI:
Malengo ya Kujifunza:
Kuweza kuanzisha na kumiliki kitega
 uchumi: Hapa kitega uchumi (enterprise)
 inamaanisha swala lolote la kiuchumi au
 kijamii aidha biashara au mradi wa faida.
Kusaka fursa za kijamii: Ujasiriamali
 unajenga ushawishi wa kuyabadili
 matatizo kuwa fursa hasa katika jamii.
Malengo ya Kujifunza:
• Uelewa na uhabarisho wakibiashara: Kuelewa
  biashara katika maono mapana,

• Kuabadili utashi wakimaisha ndani ya kazi na
  ajira: Hutoa moyo wa utegemezi binafsi/ uhuru
  kwa kupitia kujijenga uwezo.

• Ajira Binafsi: Kwa kupitia ujasiriamali ni rahisi
  kupata ajira na kujisimamia mwenyewe.

• Ubora wa maisha: Kuanzisha biashara kunampa
  fursa muasisi kuwa na baadhi ya uchaguzi juu ya
  lini, wapi,na nani, na vipi ufanye kazi.
Faida za kuwa Majsiriamali
• Husaidia kubadili fikra za vijana, utashi na
  mtazamo juu ya uzoefu wa jamii au hali ya
  kazi za jamii kama masoko, maradhi, na
  maswala ya ajira.
• Husaidia utambuzi binafsi na kukuza akili.
• Huchochea kutumia rasilimali kwa
  ukamilifu na fursa zinazopatika katika jamii
  na mzingira yetu.
Faida …….
• Ujasiriamali ni alama ya maendeleo ya miradi
  na umakini, kujituma na mafanikio katika
  biashara
• Mapinduzi ya ujasiriamali ni chachu ya ukuaji
  wa uchumi na maendeleo.
• Ujasiriamali huweza kuathiri hali yetu ya
  baadae kwa njia nyingi kama:
  – Kuboresha ubunifu wa fursa : Mafano Simu
    ndogo rahisi kubeba zilizounganishwa na faksi na
    Komputa ndogo aina za Laptop huweza kubadili
    gari, treni, au mapokezi ya ndege kuwa ofisi.:
Dhana ya biashara-Business
• Biashara ni matendo ambayo
  humuhusisha mtu katika kununua na
  kuuza huduma au bidhaa kwa lengo la
  kupata faida.
• Biashara ni pamoja na hali ya kununua na
  kuuza, kuzalisha mali na kuuza, utaalamu,
  wito na makubaliano ya kipekee yenye
  lengo la kibiashara kwa nia ya kupata
  faida.
Mambo ya kuzingatia katika
         uazishaji wa biashara:
• Katika kuamua aina ya biashara unayotaka
   kufanya tafadhali zingatia vigezo vifuatavyo,
• Namna ya upatikanaji wa bidhaa hiyo au
   huduma unayoitarajia kuiuza au kuitoa.
• Idadi ya washindani wanaouza ama kuitoa
   bidhaa hiyo.
• Matakwa ya wateja katika eneo husika na
   idadi yao.
• Gharama za uendeshaji wa biashara husika.
Mambo ya kuzingatia……

• Taratibu mbalimbali za ulipaji ada na kodi
  mbalimbali.
• Hali ya hewa ya eneo husika.
• Hali halisi katika eneo la biashara, angalia
  mwenendo wa maisha ya wakazi katika
  eneo husika mfano, amani na utulivu, vita,
  mfumuko wa bei, n.k.
MJASIRIAMALI NA
        MFANYABIASHARA
• Ni ukweli ulio wazi kuwa si kila
  anayeuza au mfanyabiashara ndogo
  ndogo ni mjasiriamali.

• Imekuwa ni 'fashion' kwa sasa nchini
  tangu nchi ijiunge katika mfumo
  unoangozwa na soko kwa kila muuzaji
  wa bidhaa na mtoaji wa huduma kujiita
  mjasiriamali.
• Kwa ufupi mjasiriamali ni mtu yeyote ambaye
  haogopi kuweka mipango na kushindwa,
  tofauti na mfanyabiashara yeye huwa na
  mtazamo wa kuwekeza kwa ajili ya faida
  pekee.
 • Mjasiriamali mhimili wake mkuu ni ubunifu

• Kuzalishwa wa bidhaa mpya, njia mpya za
  uzalishaji kugunduliwa, kutafutwa kawa masoko
  mapya na utumiaji wa rasilimali
  zinazomzunguka.
Misingi ya Ujasiriamali
1. Elimu juu ya ujasiriamali na kujifunza;
   ni muhimu kwa kila anayejihusisha na
   dhana ya ujasiriamali akaujua ujasiriamali
   na sikuchukulia kuwa ni jambo ala kuiga
   ama kunakili kutoka kwa watu
   waliofanikiwa au wanaojihusisha na
   ujasiriamali, kujifunza huku kuwe kwa
   nadharia na vitendo.
2. Ubunifu na uvumbuzi: Majasiramali
   haswa ni yule anaeyekuwa na kubuni
   vyanzo na mbinu mbalimbali za
   kuboresha utendaji wake
3. Kukua na kupanuka: ni muhimu
  mjasiriamali akue na kutanuka kimaslahi na
  si kuwa katika hali moja tua kila mara,
  anapaswa kutanuka kimtaji,kiutendaji na
  kimahusiano, hili huboresha huduma na
  uwanda wake wa malengo. Hivyo ni muhimu
  pia majaisiriamali kuwa mtu wa mipango na
  kuwa na uelekeo Fulani anaotakaa kufikia
  sehemu Fulani.
4. Kujaribu na kudhamiria: Mjasiiramali si mtu
  wakuaogopa kutenda apindia aionapoa fursa
  na kuitathmini kuwa ianpaswa kuendewa.
  Hivyo si muoga katika kujaribu
Maeneo ya kutengeneza mtandao
     wako kama mjasiriamali;
Washindani wako:
Biashara ni ushindani lakini sio uadui.Kama
  unataka kuwa mjasiriamali mwenye
  mafanikio ni vizuri sana ukawajua
  washindani wako wa kibiashara.

• Mshindani wako anaweza kukufaa pia.
• Anaweza kuzidiwa na kazi akakusukumia
  zingine.Jitambulishe,jenga uhusiano mzuri wa
  kibiashara.
• Vyombo vya Habari:
• Kama mjasiriamali,ni muhimu ukajuana na
  watu wanaoendesha au hata kumiliki
  vyombo hivi vya habari.
• Na zaidi angalia vile ambavyo vipo karibu
  zaidi na eneo lako la ujasiriamali.

• Kutangaza na kupata taarifa.
• Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO):
• Mjasiriamali makini ni yule ambaye
  anadhamiria kuisaidia jamii yake kwa njia
  moja au nyingine

• Isitoshe jamii iliyo bora,iwe kiafya,kielimu
  nk ni wateja wako wazuri wa siku za
  mbeleni.
4/3/2012   ISLAMIC HELP TANZANIA
• Hujihusisha na ujasiriamali tu
• Ni mtu anayejihusisha na Biashara Ndogo
  tu
• Ni mtu asiye na Elimu
• Ni kamari na kubahatisha
• Ujasiriamali unazaliwa nao
• Inahitaji mawazo makubwa
• Ni kazi rahisi
Haruna Zakharia, Said Bakhresa, Reginald Mengi,
      Ambassador Said and Gulam Dewji
Mfano wa kuigwa:

Contenu connexe

Tendances

5 Conversations You MUST Have With A New Boss
5 Conversations You MUST Have With A New Boss5 Conversations You MUST Have With A New Boss
5 Conversations You MUST Have With A New BossCAREEREALISM
 
How to Triple Your Referrals in BNI using LinkedIn
How to Triple Your Referrals in BNI using LinkedInHow to Triple Your Referrals in BNI using LinkedIn
How to Triple Your Referrals in BNI using LinkedInRick Itzkowich
 
5/10 Minutes Presentation - BNI Insomniacs
5/10 Minutes Presentation - BNI Insomniacs5/10 Minutes Presentation - BNI Insomniacs
5/10 Minutes Presentation - BNI InsomniacsMuneer Samnani
 
New distributors’ orientation
New distributors’ orientationNew distributors’ orientation
New distributors’ orientationpazelia
 
5 steps to effective 1 2-1 meeting
5 steps to effective 1 2-1 meeting5 steps to effective 1 2-1 meeting
5 steps to effective 1 2-1 meetingKam Loong Low
 
The Importance of Sales and Relationship Management in any Business
The Importance of Sales and Relationship Management in any BusinessThe Importance of Sales and Relationship Management in any Business
The Importance of Sales and Relationship Management in any BusinessXavier Jenkins
 
How to Build a MLM Down line of 2000 people in 30 days
How to Build a MLM Down line of 2000 people in 30 daysHow to Build a MLM Down line of 2000 people in 30 days
How to Build a MLM Down line of 2000 people in 30 daysAllen Daniels
 
BNI Networking Education Segment - BRAG teams
BNI Networking Education Segment - BRAG teamsBNI Networking Education Segment - BRAG teams
BNI Networking Education Segment - BRAG teamsKevin Koo
 
How to Plan an Effective Annual Sales Meeting
How to Plan an Effective Annual Sales Meeting How to Plan an Effective Annual Sales Meeting
How to Plan an Effective Annual Sales Meeting Sales Readiness Group
 
Mastering productivity: how to get more done at work
Mastering productivity: how to get more done at workMastering productivity: how to get more done at work
Mastering productivity: how to get more done at workAsana
 
Introduction to Entrepreneurship v3, 1st edition
Introduction to Entrepreneurship  v3, 1st editionIntroduction to Entrepreneurship  v3, 1st edition
Introduction to Entrepreneurship v3, 1st editionJorge Saguinsin
 
The 360º Leader (Section 1 of 6)
The 360º Leader (Section 1 of 6)The 360º Leader (Section 1 of 6)
The 360º Leader (Section 1 of 6)Greg Makowski
 
Managing up - Managing Difficult Bosses
Managing up - Managing Difficult BossesManaging up - Managing Difficult Bosses
Managing up - Managing Difficult BossesAngela de Longchamps
 
Key Benefits of the MLM Business Model
Key Benefits of the MLM Business ModelKey Benefits of the MLM Business Model
Key Benefits of the MLM Business ModelMLM Triangle
 
400 Coaching Questions For Managers
400 Coaching Questions For Managers400 Coaching Questions For Managers
400 Coaching Questions For ManagersSean McPheat
 
Mlm duplication
Mlm duplicationMlm duplication
Mlm duplicationbizatt
 

Tendances (20)

5 Conversations You MUST Have With A New Boss
5 Conversations You MUST Have With A New Boss5 Conversations You MUST Have With A New Boss
5 Conversations You MUST Have With A New Boss
 
How to Triple Your Referrals in BNI using LinkedIn
How to Triple Your Referrals in BNI using LinkedInHow to Triple Your Referrals in BNI using LinkedIn
How to Triple Your Referrals in BNI using LinkedIn
 
5/10 Minutes Presentation - BNI Insomniacs
5/10 Minutes Presentation - BNI Insomniacs5/10 Minutes Presentation - BNI Insomniacs
5/10 Minutes Presentation - BNI Insomniacs
 
New distributors’ orientation
New distributors’ orientationNew distributors’ orientation
New distributors’ orientation
 
5 steps to effective 1 2-1 meeting
5 steps to effective 1 2-1 meeting5 steps to effective 1 2-1 meeting
5 steps to effective 1 2-1 meeting
 
The Importance of Sales and Relationship Management in any Business
The Importance of Sales and Relationship Management in any BusinessThe Importance of Sales and Relationship Management in any Business
The Importance of Sales and Relationship Management in any Business
 
How to Build a MLM Down line of 2000 people in 30 days
How to Build a MLM Down line of 2000 people in 30 daysHow to Build a MLM Down line of 2000 people in 30 days
How to Build a MLM Down line of 2000 people in 30 days
 
BNI Networking Education Segment - BRAG teams
BNI Networking Education Segment - BRAG teamsBNI Networking Education Segment - BRAG teams
BNI Networking Education Segment - BRAG teams
 
Self Leadership for Influence and Impact
Self Leadership for Influence and ImpactSelf Leadership for Influence and Impact
Self Leadership for Influence and Impact
 
How to Plan an Effective Annual Sales Meeting
How to Plan an Effective Annual Sales Meeting How to Plan an Effective Annual Sales Meeting
How to Plan an Effective Annual Sales Meeting
 
Mastering productivity: how to get more done at work
Mastering productivity: how to get more done at workMastering productivity: how to get more done at work
Mastering productivity: how to get more done at work
 
Introduction to Entrepreneurship v3, 1st edition
Introduction to Entrepreneurship  v3, 1st editionIntroduction to Entrepreneurship  v3, 1st edition
Introduction to Entrepreneurship v3, 1st edition
 
Develope yourself nlp
Develope yourself nlpDevelope yourself nlp
Develope yourself nlp
 
The 360º Leader (Section 1 of 6)
The 360º Leader (Section 1 of 6)The 360º Leader (Section 1 of 6)
The 360º Leader (Section 1 of 6)
 
Managing up - Managing Difficult Bosses
Managing up - Managing Difficult BossesManaging up - Managing Difficult Bosses
Managing up - Managing Difficult Bosses
 
Key Benefits of the MLM Business Model
Key Benefits of the MLM Business ModelKey Benefits of the MLM Business Model
Key Benefits of the MLM Business Model
 
Leadership Communication
Leadership CommunicationLeadership Communication
Leadership Communication
 
400 Coaching Questions For Managers
400 Coaching Questions For Managers400 Coaching Questions For Managers
400 Coaching Questions For Managers
 
Mlm duplication
Mlm duplicationMlm duplication
Mlm duplication
 
Full BNI Participation
Full BNI Participation Full BNI Participation
Full BNI Participation
 

En vedette

Fursa kwa walio na mtaji mdogo
Fursa kwa walio na mtaji mdogoFursa kwa walio na mtaji mdogo
Fursa kwa walio na mtaji mdogoYSDO and MAP
 
Mkristo na uchumi part 1
Mkristo na uchumi   part 1Mkristo na uchumi   part 1
Mkristo na uchumi part 1001111111111
 
Jipime Sayansi Darasa la Sita
Jipime Sayansi Darasa la SitaJipime Sayansi Darasa la Sita
Jipime Sayansi Darasa la Sitakanguni
 
Sadaka na-maana-ya-utoaji
Sadaka na-maana-ya-utoajiSadaka na-maana-ya-utoaji
Sadaka na-maana-ya-utoaji001111111111
 
Uchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibibliaUchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibiblia001111111111
 
Ujana na mafanikio
Ujana na mafanikioUjana na mafanikio
Ujana na mafanikio001111111111
 
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)Mwl. Mapesa Nestory
 
Uchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibibliaUchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibiblia001111111111
 
Waraka wa elimu na. 4 wa mwaka 2014 kuhusu utayarishaji wa vifaa vya kujifunz...
Waraka wa elimu na. 4 wa mwaka 2014 kuhusu utayarishaji wa vifaa vya kujifunz...Waraka wa elimu na. 4 wa mwaka 2014 kuhusu utayarishaji wa vifaa vya kujifunz...
Waraka wa elimu na. 4 wa mwaka 2014 kuhusu utayarishaji wa vifaa vya kujifunz...elimutanzania
 
Kwanini mungu anatupa utajiri
Kwanini mungu anatupa utajiriKwanini mungu anatupa utajiri
Kwanini mungu anatupa utajiri001111111111
 
biashara ya mtandao na kampuni ya Forever living
biashara ya mtandao na kampuni ya Forever livingbiashara ya mtandao na kampuni ya Forever living
biashara ya mtandao na kampuni ya Forever livingLouis Hosea
 
Kanuni za kiroho za ushindi
Kanuni za kiroho za ushindiKanuni za kiroho za ushindi
Kanuni za kiroho za ushindi001111111111
 
Nguvu ya neno la mungu
Nguvu ya neno la munguNguvu ya neno la mungu
Nguvu ya neno la mungu001111111111
 
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojiaUmuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojiaHamad Khamis Juma
 

En vedette (20)

Fursa kwa walio na mtaji mdogo
Fursa kwa walio na mtaji mdogoFursa kwa walio na mtaji mdogo
Fursa kwa walio na mtaji mdogo
 
Mkristo na uchumi part 1
Mkristo na uchumi   part 1Mkristo na uchumi   part 1
Mkristo na uchumi part 1
 
Jipime Sayansi Darasa la Sita
Jipime Sayansi Darasa la SitaJipime Sayansi Darasa la Sita
Jipime Sayansi Darasa la Sita
 
Sadaka na-maana-ya-utoaji
Sadaka na-maana-ya-utoajiSadaka na-maana-ya-utoaji
Sadaka na-maana-ya-utoaji
 
Uchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibibliaUchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibiblia
 
Ujana na mafanikio
Ujana na mafanikioUjana na mafanikio
Ujana na mafanikio
 
JEDWALI LA KUTAHINI
JEDWALI LA KUTAHINIJEDWALI LA KUTAHINI
JEDWALI LA KUTAHINI
 
Elimu ya Watu Wazima(EWW)
Elimu ya Watu Wazima(EWW)Elimu ya Watu Wazima(EWW)
Elimu ya Watu Wazima(EWW)
 
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
Chuo kikuu cha mtakatifu agustino (autosaved)
 
Maana ya maana!
Maana ya maana!Maana ya maana!
Maana ya maana!
 
Uchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibibliaUchumi wa kibiblia
Uchumi wa kibiblia
 
Waraka wa elimu na. 4 wa mwaka 2014 kuhusu utayarishaji wa vifaa vya kujifunz...
Waraka wa elimu na. 4 wa mwaka 2014 kuhusu utayarishaji wa vifaa vya kujifunz...Waraka wa elimu na. 4 wa mwaka 2014 kuhusu utayarishaji wa vifaa vya kujifunz...
Waraka wa elimu na. 4 wa mwaka 2014 kuhusu utayarishaji wa vifaa vya kujifunz...
 
Kwanini mungu anatupa utajiri
Kwanini mungu anatupa utajiriKwanini mungu anatupa utajiri
Kwanini mungu anatupa utajiri
 
biashara ya mtandao na kampuni ya Forever living
biashara ya mtandao na kampuni ya Forever livingbiashara ya mtandao na kampuni ya Forever living
biashara ya mtandao na kampuni ya Forever living
 
Kanuni za kiroho za ushindi
Kanuni za kiroho za ushindiKanuni za kiroho za ushindi
Kanuni za kiroho za ushindi
 
Nguvu ya neno la mungu
Nguvu ya neno la munguNguvu ya neno la mungu
Nguvu ya neno la mungu
 
Nguvu ya sadaka
Nguvu ya sadakaNguvu ya sadaka
Nguvu ya sadaka
 
Vita vya kiroho
Vita vya kirohoVita vya kiroho
Vita vya kiroho
 
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojiaUmuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
Umuhimu wa kujifunza nadharia za fonolojia
 
UTAFITI WA KIELIMU
UTAFITI  WA KIELIMUUTAFITI  WA KIELIMU
UTAFITI WA KIELIMU
 

MAFUNZO YA UJASIRIAMALI

  • 1. Training of Trainers (TOT) ISLAMIC HELP TANZANIA
  • 3. Mkusanyaji na Mwandishi: SELEMAN ABDALLAH; ISLAMIC HELP TANZANIA- 2012-03-06 Email: tanzania@islamichelp.org.uk, / kakasule2@gmail.com Phone: +255689131400 or 0754 371115
  • 4. UTANGULIZI • DHANA YA UWEZESHAJI KIUCHUMI • DHANA YA UJASIRIA MALI • Dhana ya ujumla ya ujasiriamali: • Sehemu ya Pili: Mjasiriamali • HAJA YA UJASIRIAMALI: Kwanini tunahitaji kuusoma Ujasiriamali? • UMUHIMU WA UJASIRIAMALI. • Dhana ya biashara • UISLAMU NA BIASHARA • FAIDA ZA BIASHARA. • ADABU ZA BIASHARA KIISLAMU
  • 5. • USIMAMIZI NA UENDESHAJI WA BIASHARA • MPANGO WA BIASHARA NA MRADI • ANDIKO LA MRADI (Project Proposal) • MPANGILIO WA BIASHARA (Business Plan) • MPANGO WA MASOKO (Market Plan) • UTUNZAJI KUMBUKUMBU KATIKA BIASHARA • UMUHIMU WA KUTUNZA KUMBUKUMBU • UMAKINI KATIKA GHARAMA ZA BIASHARA • CHANGAMOTO ZA BIASHARA. • MBINU ZA BIASHARA • BIASAHARA NA FAMILIA:
  • 6. UTANGULIZI • Uchumi ni sekta ambayo huchochea kwa namna moja au nyingine maendeleo ya mwanaadamu • Biashara ni moja ya sehemu kuu ya uchumi na maiongiliano makuu ya uchumi hupatikana kwa kupitia biashara,miradi na kwa ujumla Ujasiriamali. • Kufanya ujasiriamali ni moja katika njia za kujipatia kipato na jitihada ilizungumzwa na dini
  • 7. • Kujipatia riziki ya halali ni jambo linalomfurahisha sana Mola na hili limedhihirishwa katika hadithi na mafundisho ya mtume (saw), hadithi iliyopokelewa na At-twabaraniy: - • inayosema “Kutafuta chumo la halali ni Wajibu kwa kila muislamu”
  • 8. • Kwa kuzingatia haya pamoja na uhitaji wa dhana hii kuna changamoto juu ya ufahamu na ujuzi maalumu juu ya Biashara, miradi na ujasiriamali katika ujumla wake. • Ujasiriamali ni ujuzi kama zilivyo tasnia nyingine, lazima usomwe na kufunzwa kila anayetaka ufanisi wake na matunda yake.
  • 9. • Dhana inayojengeka miongoni mwa jamii kuwa ujasiriamali ni swala la kipaji cha kuzaliwa nacho, kurithi au kujulikana pasi na elimu ni dhana potofu inayowakwamisha wale wanaotaka kuchukua hatua kuufanyia kazi ujasiriamali. • Mjasirimali mmoja anasema maneno yafuatayo: “Mengi katika usikiayo kuhusu ujasiriamali sio sahihi. Si uchawi; si mazingaombwe; na hauna lihusianalo na maumbile, ni nidhamu na, kama nidhamu nyingine, Inawezekana kwa kusomwa.” Peter F. Drucker
  • 10. DHANA YA UWEZESHAJI KIUCHUMI • Katika maisha yeyote ya wanaadamu uchumi ni sehemu kubwa ya maisha yao kwa kuwapatia njia na fursa za maisha. • Dhana hii ni mahimu kufanyiwa jitihada na njia za kuikwamua ili kuleta tija na muonekano wa ubora katika ngazi ya jamii. • Kujikwamua kiuchumi ni hatua ya kufanya jitihada na michakato mbalimbali ili kuboresha mapato na kuinua ufanisi wa matokeo yanayotazamiwa kutokana na uchumi.
  • 11. • Sehemu kubwa ya ufanisi katika mchakato wa kujikwamua na kujikomboa kichumi unapatika kwa jamii kujihusisha na mpango wa Ujasiriamali. • Ujasiriamali husaidia kipato cha mwanajamii na kutoa mchango mkubwa katika sehemu au mahali anapopatikana.
  • 13. Sehemu ya Kwanza: Maana ya Ujasiriamali: Ujasiriamali: • Ni utekelezaji au utendaji ambao mtu anapanga, anafanya, anasimamia na kuendesha na kukisia mashaka au hatari kwa kuthubutu kufanya jambo la kiuchumi au kijamii ua biashara.
  • 14. Maana ya Ujasiriamali • Neno ujasiriamali linatokana na maneno mawili ambayo ni UJASIRI na MALI. Hivyo maana ya ujasiriamali ni kuwa na: - • Ujasiri au mshawasha wa kutafuta na kupata mali; • Uwezo wa kutambua fursa za biashara haraka na uthubutu wa kuzitekeleza fursa hizo pindi zinapojitokeza; na • Uwezo wa kuthubutu kushinda vikwazo vinavyoweza kuzuia utekelezaji wa fursa za biashara.
  • 15. • Ujasiriamali: ni utashi juu ya kufanya kitu; ni njia ya kufikiria, kufikia na kufanya jambo au kitu fulani. • Ujasiriamali ni mchakato ambapo mtu anachukua hatua kutumia fursa bila kujali hali ya rasilimali alizonazo
  • 16. “Ni mchakato ambapo mtu anafanisi, kusimamia, kuandaa na kuratibu ubunifu, uboreshaji na uvumbuzi, kujenga thamani na uthamini unaompa faida au kutoa manufaa na kuzingatia na kujenga ukuaji na upekee wa tahmani kwa jamii inayomzunguka” MCHAKATO Upekee Mjasiriamali UBUNIFU Kukua Kujenga Kuunda kundi/ Faida Taasisi Kujenga Thamani
  • 17. Sehemu ya Pili: Mjasiriamali • Mtu ambaye “anathubutu kufanya,” Jambo, vitendo au mradi wenye manufaa”. • “Aliyechochewa au mwenye vichocheo vya kuendelea kiuchumi kwa kutafuta na kubuni njia mpya za kujikwamua na kufanya mambo”. • “Mjasiriamali kwa tafsiri ya Drucker, ni ahamishae rasilimali kutoka eneo lenye uzalishaji mdogo na kupeleka katika eneo lenye uzalishaji mkubwa na mavuno (mengi).
  • 18. HAJA YA UJASIRIAMALI: Malengo ya Kujifunza: Kuweza kuanzisha na kumiliki kitega uchumi: Hapa kitega uchumi (enterprise) inamaanisha swala lolote la kiuchumi au kijamii aidha biashara au mradi wa faida. Kusaka fursa za kijamii: Ujasiriamali unajenga ushawishi wa kuyabadili matatizo kuwa fursa hasa katika jamii.
  • 19. Malengo ya Kujifunza: • Uelewa na uhabarisho wakibiashara: Kuelewa biashara katika maono mapana, • Kuabadili utashi wakimaisha ndani ya kazi na ajira: Hutoa moyo wa utegemezi binafsi/ uhuru kwa kupitia kujijenga uwezo. • Ajira Binafsi: Kwa kupitia ujasiriamali ni rahisi kupata ajira na kujisimamia mwenyewe. • Ubora wa maisha: Kuanzisha biashara kunampa fursa muasisi kuwa na baadhi ya uchaguzi juu ya lini, wapi,na nani, na vipi ufanye kazi.
  • 20.
  • 21. Faida za kuwa Majsiriamali • Husaidia kubadili fikra za vijana, utashi na mtazamo juu ya uzoefu wa jamii au hali ya kazi za jamii kama masoko, maradhi, na maswala ya ajira. • Husaidia utambuzi binafsi na kukuza akili. • Huchochea kutumia rasilimali kwa ukamilifu na fursa zinazopatika katika jamii na mzingira yetu.
  • 22. Faida ……. • Ujasiriamali ni alama ya maendeleo ya miradi na umakini, kujituma na mafanikio katika biashara • Mapinduzi ya ujasiriamali ni chachu ya ukuaji wa uchumi na maendeleo. • Ujasiriamali huweza kuathiri hali yetu ya baadae kwa njia nyingi kama: – Kuboresha ubunifu wa fursa : Mafano Simu ndogo rahisi kubeba zilizounganishwa na faksi na Komputa ndogo aina za Laptop huweza kubadili gari, treni, au mapokezi ya ndege kuwa ofisi.:
  • 23. Dhana ya biashara-Business • Biashara ni matendo ambayo humuhusisha mtu katika kununua na kuuza huduma au bidhaa kwa lengo la kupata faida. • Biashara ni pamoja na hali ya kununua na kuuza, kuzalisha mali na kuuza, utaalamu, wito na makubaliano ya kipekee yenye lengo la kibiashara kwa nia ya kupata faida.
  • 24. Mambo ya kuzingatia katika uazishaji wa biashara: • Katika kuamua aina ya biashara unayotaka kufanya tafadhali zingatia vigezo vifuatavyo, • Namna ya upatikanaji wa bidhaa hiyo au huduma unayoitarajia kuiuza au kuitoa. • Idadi ya washindani wanaouza ama kuitoa bidhaa hiyo. • Matakwa ya wateja katika eneo husika na idadi yao. • Gharama za uendeshaji wa biashara husika.
  • 25. Mambo ya kuzingatia…… • Taratibu mbalimbali za ulipaji ada na kodi mbalimbali. • Hali ya hewa ya eneo husika. • Hali halisi katika eneo la biashara, angalia mwenendo wa maisha ya wakazi katika eneo husika mfano, amani na utulivu, vita, mfumuko wa bei, n.k.
  • 26. MJASIRIAMALI NA MFANYABIASHARA • Ni ukweli ulio wazi kuwa si kila anayeuza au mfanyabiashara ndogo ndogo ni mjasiriamali. • Imekuwa ni 'fashion' kwa sasa nchini tangu nchi ijiunge katika mfumo unoangozwa na soko kwa kila muuzaji wa bidhaa na mtoaji wa huduma kujiita mjasiriamali.
  • 27. • Kwa ufupi mjasiriamali ni mtu yeyote ambaye haogopi kuweka mipango na kushindwa, tofauti na mfanyabiashara yeye huwa na mtazamo wa kuwekeza kwa ajili ya faida pekee. • Mjasiriamali mhimili wake mkuu ni ubunifu • Kuzalishwa wa bidhaa mpya, njia mpya za uzalishaji kugunduliwa, kutafutwa kawa masoko mapya na utumiaji wa rasilimali zinazomzunguka.
  • 28. Misingi ya Ujasiriamali 1. Elimu juu ya ujasiriamali na kujifunza; ni muhimu kwa kila anayejihusisha na dhana ya ujasiriamali akaujua ujasiriamali na sikuchukulia kuwa ni jambo ala kuiga ama kunakili kutoka kwa watu waliofanikiwa au wanaojihusisha na ujasiriamali, kujifunza huku kuwe kwa nadharia na vitendo. 2. Ubunifu na uvumbuzi: Majasiramali haswa ni yule anaeyekuwa na kubuni vyanzo na mbinu mbalimbali za kuboresha utendaji wake
  • 29. 3. Kukua na kupanuka: ni muhimu mjasiriamali akue na kutanuka kimaslahi na si kuwa katika hali moja tua kila mara, anapaswa kutanuka kimtaji,kiutendaji na kimahusiano, hili huboresha huduma na uwanda wake wa malengo. Hivyo ni muhimu pia majaisiriamali kuwa mtu wa mipango na kuwa na uelekeo Fulani anaotakaa kufikia sehemu Fulani. 4. Kujaribu na kudhamiria: Mjasiiramali si mtu wakuaogopa kutenda apindia aionapoa fursa na kuitathmini kuwa ianpaswa kuendewa. Hivyo si muoga katika kujaribu
  • 30. Maeneo ya kutengeneza mtandao wako kama mjasiriamali; Washindani wako: Biashara ni ushindani lakini sio uadui.Kama unataka kuwa mjasiriamali mwenye mafanikio ni vizuri sana ukawajua washindani wako wa kibiashara. • Mshindani wako anaweza kukufaa pia. • Anaweza kuzidiwa na kazi akakusukumia zingine.Jitambulishe,jenga uhusiano mzuri wa kibiashara.
  • 31. • Vyombo vya Habari: • Kama mjasiriamali,ni muhimu ukajuana na watu wanaoendesha au hata kumiliki vyombo hivi vya habari. • Na zaidi angalia vile ambavyo vipo karibu zaidi na eneo lako la ujasiriamali. • Kutangaza na kupata taarifa.
  • 32. • Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO): • Mjasiriamali makini ni yule ambaye anadhamiria kuisaidia jamii yake kwa njia moja au nyingine • Isitoshe jamii iliyo bora,iwe kiafya,kielimu nk ni wateja wako wazuri wa siku za mbeleni.
  • 33. 4/3/2012 ISLAMIC HELP TANZANIA
  • 34. • Hujihusisha na ujasiriamali tu • Ni mtu anayejihusisha na Biashara Ndogo tu • Ni mtu asiye na Elimu • Ni kamari na kubahatisha • Ujasiriamali unazaliwa nao • Inahitaji mawazo makubwa • Ni kazi rahisi
  • 35. Haruna Zakharia, Said Bakhresa, Reginald Mengi, Ambassador Said and Gulam Dewji